home.social

#kujikomboakitaifa — Public Fediverse posts

Live and recent posts from across the Fediverse tagged #kujikomboakitaifa, aggregated by home.social.

  1. archive.org/details/kaburi-bil

    Kaburi Bila Msalaba: Hadithi Ya Vita Vya Mau Mau by P. M. Kareithi; Terry Hirst

    Topics
    #MauMau, #Kenya, #historia, #Kiswahili, #ukoloni, #milkiyauingereza, #milkiyabritania, #vita, #kujikomboakitaifa, #mapambano, #hadithi

    "Kila msomaji amalizae kusoma hadithi hii hataacha kujiuliza nafsi yake kama anatimiza wajibu wake katika ujenzi wa taifa hili."

  2. archive.org/details/viumbe-wal

    Viumbe Waliolaaniwa by Franz Fanon; Frantz Fanon; Gabriel Ruhumbika; Clement Maganga; Jean-Paul Sartre; Kiswahili

    Topics
    #ukoloni, #kujikomboakitaifa, #mwamkowakitaifa, #vita, #mapinduzi, #elimunafsia, #saikolojia, #mataifa, #mapambano, #ubaguziwarangi, #ujenziwamataifa

    Yaliyomo

    Dibaji ya Jean-Paul Sartre
    1. Kuhusu utumiaji nguvu
    2. Mwamko wa dharura: Fahari yake na hasara zake
    3. Matatizo ya mwamko wa kitaifa
    4. Kuhusu utamaduni wa kitaifa
    5. Vita vya kikoloni na mogonjwa ya ubongo
    6. Neno la mwisho
    Vielelezo

  3. archive.org/details/mzalendo-k

    Mzalendo Kimathi by Mîcere Gîthae Mũgo; Ngũgĩ wa Thiong'o; Raphael Kahaso

    Topics
    #DedanKimathi, #MauMau, #Kenya, #Milkiyauingereza, #Milkiyabritania, #ukoloni, #tamthilia, #tamthiliya, #kujikomboakitaifa, #vita, #historia, #historiayaKenya, #Kiswahili

    "Yamesemwa na kuandikwa mengi juu ya kiini cha mapambano ya Mau Mau na vikosi vya Wakoloni Waingereza. Lakini je, kiini hiki kimezungumiziwa vya kutosha katika fasihi ya Kenya? Ni kwa nini fasihi hii imewadunisha wazalendo na kuwafanya wasioweza kuiunda historia yao? Kwa nini waimbaji wetu Kenya hawajapata kuimba nyimbo za kuwasifu mashujaa kama Dedan Kimathi na ujasiri wao? Historia na matendo waliyoyaandika wanahistoria na waandishi wengine ni vya nani?"