#ukoloni — Public Fediverse posts
Live and recent posts from across the Fediverse tagged #ukoloni, aggregated by home.social.
-
https://archive.org/details/biashara-ya-utumwa
Biashara ya Utumwa katika Afrika ya Magharibi by Walter Rodney
Topics
#Kiswahili, #ukoloni, #ubepari, #ubeberu, #biasharayautumwa, #historia, #AfrikayaMagharibi, #utumwa"Katika kijitabu hiki, mwandishi anaeleza kwa ustadi mkubwa, na kwa namna ambayo hajiapata kuelezwa kwa Kiswahili, jinsi Wazungu walivyoivamia Afrika na kuwatia Waafrika utumwani, kwa nini kufanya hivyo, hila walizozitumia, jinsi walivyozichafua mila na desturi za Waafrika na kuwasaliti wao kwa wao."
-
https://archive.org/details/maji-maji
Kumbukumbu za Vita vya Maji Maji: Sehemu ya Kwanza, 1905-1907 by G. C. K. Gwassa
Topics
#VitavyaMajiMaji, #MajiMaji, #historiayaTanzania, #Afrikayamasharikiyakijerumani, #ukoloni, #dolalaujerumaniChama cha Historia cha Tanzania Kijitabu cha Kiswahili cha Kwanza
-
https://archive.org/details/wanawake-wa-tanu
Wanawake wa TANU. Jinsia na Utamaduni katika Kujenga Uzalendo Tanganyika: 1955-1965 by Susan Geiger; Elieshi Lema
Topics
#TANU, #wanawake, #Tanganyika, #Tanzania, #historiayaTanzania, #mapambano, #uzalendo, #ukoloni"Wananchi wa Tanganyika walijipatia uhuru wao kutoka kwa Waingereza mwaka 1961 kupitia mapambano yaliyoongwozwa na jumuiya yenye nguvu chini ya uratibu wa chama cha TANU. Wanawake wazalendo walikuwa ni viongozi mashuhuri katika medani zote kwenye ngazi mbalimbali."
-
https://archive.org/details/njia-panda
Njia Panda by Ngũgĩ wa Thiong'o; John Ndeti Somba
Topics
#Kiswahili, #Kenya, #riwaya, #ukoloni, #ukristo"Njia panda ni tafsiri ya Kiswahili ya The River Between, kilichoandikwa na mwandishi maarufu Mkenya, Ngugi wa Thiong'o."
-
https://archive.org/details/kaburi-bila-msalaba
Kaburi Bila Msalaba: Hadithi Ya Vita Vya Mau Mau by P. M. Kareithi; Terry Hirst
Topics
#MauMau, #Kenya, #historia, #Kiswahili, #ukoloni, #milkiyauingereza, #milkiyabritania, #vita, #kujikomboakitaifa, #mapambano, #hadithi"Kila msomaji amalizae kusoma hadithi hii hataacha kujiuliza nafsi yake kama anatimiza wajibu wake katika ujenzi wa taifa hili."
-
https://archive.org/details/viumbe-waliolaaniwa
Viumbe Waliolaaniwa by Franz Fanon; Frantz Fanon; Gabriel Ruhumbika; Clement Maganga; Jean-Paul Sartre; Kiswahili
Topics
#ukoloni, #kujikomboakitaifa, #mwamkowakitaifa, #vita, #mapinduzi, #elimunafsia, #saikolojia, #mataifa, #mapambano, #ubaguziwarangi, #ujenziwamataifaYaliyomo
Dibaji ya Jean-Paul Sartre
1. Kuhusu utumiaji nguvu
2. Mwamko wa dharura: Fahari yake na hasara zake
3. Matatizo ya mwamko wa kitaifa
4. Kuhusu utamaduni wa kitaifa
5. Vita vya kikoloni na mogonjwa ya ubongo
6. Neno la mwisho
Vielelezo -
https://archive.org/details/harakati-ya-kitabaka-katika-afrika
Harakati ya Kitabaka Katika Afrika by Kwame Nkrumah; M.W.K. Chiume
Topics
#Afrika, #ukoloni, #usoshalisti, #ujamaa, #harakatizakitabaka, #mapambanoyakitabaka, #ukolonimamboleo, #ubepari, #ubeberu, #tabaka, #rangi, #ubaguziwarangi, #Kiswahili"Harakati ya Kitabaka Katika Afrika ni tafsiri ya kitabu kiitwacho Class Struggle in Africa, kilichoandikwa na hayati Kwame Nkrumah. Katika kitabu hiki anaonyesha kwa ufasaha kuwa pamoja na ukoloni, historia ya Afrika ni historia ya mapambano kati ya yanyonyaji na wanaonyonywa. Ameonyesha pia kuwa ushindi wa siasa ya uhuru na ujamaa utapatikana kutokana na ushindi wa tabaka la wafanyakazi ina wakulima dhidi ya tabaka la wonyonyaji wa ndani na wa nje ya Afrika"
-
https://archive.org/details/harakati-ya-kitabaka-katika-afrika
Harakati ya Kitabaka Katika Afrika by Kwame Nkrumah; M.W.K. Chiume
Topics
#Afrika, #ukoloni, #usoshalisti, #ujamaa, #harakatizakitabaka, #mapambanoyakitabaka, #ukolonimamboleo, #ubepari, #ubeberu, #tabaka, #rangi, #ubaguziwarangi, #Kiswahili"Harakati ya Kitabaka Katika Afrika ni tafsiri ya kitabu kiitwacho Class Struggle in Africa, kilichoandikwa na hayati Kwame Nkrumah. Katika kitabu hiki anaonyesha kwa ufasaha kuwa pamoja na ukoloni, historia ya Afrika ni historia ya mapambano kati ya yanyonyaji na wanaonyonywa. Ameonyesha pia kuwa ushindi wa siasa ya uhuru na ujamaa utapatikana kutokana na ushindi wa tabaka la wafanyakazi ina wakulima dhidi ya tabaka la wonyonyaji wa ndani na wa nje ya Afrika"
-
https://archive.org/details/harakati-ya-kitabaka-katika-afrika
Harakati ya Kitabaka Katika Afrika by Kwame Nkrumah; M.W.K. Chiume
Topics
#Afrika, #ukoloni, #usoshalisti, #ujamaa, #harakatizakitabaka, #mapambanoyakitabaka, #ukolonimamboleo, #ubepari, #ubeberu, #tabaka, #rangi, #ubaguziwarangi, #Kiswahili"Harakati ya Kitabaka Katika Afrika ni tafsiri ya kitabu kiitwacho Class Struggle in Africa, kilichoandikwa na hayati Kwame Nkrumah. Katika kitabu hiki anaonyesha kwa ufasaha kuwa pamoja na ukoloni, historia ya Afrika ni historia ya mapambano kati ya yanyonyaji na wanaonyonywa. Ameonyesha pia kuwa ushindi wa siasa ya uhuru na ujamaa utapatikana kutokana na ushindi wa tabaka la wafanyakazi ina wakulima dhidi ya tabaka la wonyonyaji wa ndani na wa nje ya Afrika"
-
https://archive.org/details/harakati-ya-kitabaka-katika-afrika
Harakati ya Kitabaka Katika Afrika by Kwame Nkrumah; M.W.K. Chiume
Topics
#Afrika, #ukoloni, #usoshalisti, #ujamaa, #harakatizakitabaka, #mapambanoyakitabaka, #ukolonimamboleo, #ubepari, #ubeberu, #tabaka, #rangi, #ubaguziwarangi, #Kiswahili"Harakati ya Kitabaka Katika Afrika ni tafsiri ya kitabu kiitwacho Class Struggle in Africa, kilichoandikwa na hayati Kwame Nkrumah. Katika kitabu hiki anaonyesha kwa ufasaha kuwa pamoja na ukoloni, historia ya Afrika ni historia ya mapambano kati ya yanyonyaji na wanaonyonywa. Ameonyesha pia kuwa ushindi wa siasa ya uhuru na ujamaa utapatikana kutokana na ushindi wa tabaka la wafanyakazi ina wakulima dhidi ya tabaka la wonyonyaji wa ndani na wa nje ya Afrika"
-
https://archive.org/details/harakati-ya-kitabaka-katika-afrika
Harakati ya Kitabaka Katika Afrika by Kwame Nkrumah; M.W.K. Chiume
Topics
#Afrika, #ukoloni, #usoshalisti, #ujamaa, #harakatizakitabaka, #mapambanoyakitabaka, #ukolonimamboleo, #ubepari, #ubeberu, #tabaka, #rangi, #ubaguziwarangi, #Kiswahili"Harakati ya Kitabaka Katika Afrika ni tafsiri ya kitabu kiitwacho Class Struggle in Africa, kilichoandikwa na hayati Kwame Nkrumah. Katika kitabu hiki anaonyesha kwa ufasaha kuwa pamoja na ukoloni, historia ya Afrika ni historia ya mapambano kati ya yanyonyaji na wanaonyonywa. Ameonyesha pia kuwa ushindi wa siasa ya uhuru na ujamaa utapatikana kutokana na ushindi wa tabaka la wafanyakazi ina wakulima dhidi ya tabaka la wonyonyaji wa ndani na wa nje ya Afrika"
-
https://archive.org/details/mzalendo-kimathi
Mzalendo Kimathi by Mîcere Gîthae Mũgo; Ngũgĩ wa Thiong'o; Raphael Kahaso
Topics
#DedanKimathi, #MauMau, #Kenya, #Milkiyauingereza, #Milkiyabritania, #ukoloni, #tamthilia, #tamthiliya, #kujikomboakitaifa, #vita, #historia, #historiayaKenya, #Kiswahili"Yamesemwa na kuandikwa mengi juu ya kiini cha mapambano ya Mau Mau na vikosi vya Wakoloni Waingereza. Lakini je, kiini hiki kimezungumiziwa vya kutosha katika fasihi ya Kenya? Ni kwa nini fasihi hii imewadunisha wazalendo na kuwafanya wasioweza kuiunda historia yao? Kwa nini waimbaji wetu Kenya hawajapata kuimba nyimbo za kuwasifu mashujaa kama Dedan Kimathi na ujasiri wao? Historia na matendo waliyoyaandika wanahistoria na waandishi wengine ni vya nani?"
-
https://archive.org/details/kinjeketile
Kinjeketile by Ebrahim N. Hussain
Topics
#KinjeketileNgwale, #KinjikitileNgwale, #VitayaMajiMaji, #Tanzania, #Tanganyika, #Bokero, #ukoloni, #historia#4 in the Oxford University Press "New Drama from Africa" series
-
https://archive.org/details/kinjeketile
Kinjeketile by Ebrahim N. Hussain
Topics
#KinjeketileNgwale, #KinjikitileNgwale, #VitayaMajiMaji, #Tanzania, #Tanganyika, #Bokero, #ukoloni, #historia#4 in the Oxford University Press "New Drama from Africa" series
-
https://archive.org/details/kinjeketile
Kinjeketile by Ebrahim N. Hussain
Topics
#KinjeketileNgwale, #KinjikitileNgwale, #VitayaMajiMaji, #Tanzania, #Tanganyika, #Bokero, #ukoloni, #historia#4 in the Oxford University Press "New Drama from Africa" series
-
https://archive.org/details/kinjeketile
Kinjeketile by Ebrahim N. Hussain
Topics
#KinjeketileNgwale, #KinjikitileNgwale, #VitayaMajiMaji, #Tanzania, #Tanganyika, #Bokero, #ukoloni, #historia#4 in the Oxford University Press "New Drama from Africa" series
-
https://archive.org/details/kinjeketile
Kinjeketile by Ebrahim N. Hussain
Topics
#KinjeketileNgwale, #KinjikitileNgwale, #VitayaMajiMaji, #Tanzania, #Tanganyika, #Bokero, #ukoloni, #historia#4 in the Oxford University Press "New Drama from Africa" series
-
https://archive.org/details/mapambano
Historia ya Mapambano ya Mwafrika by H. Mapunda; D.N. Mwakawago
Topics
#historia, #Afrika, #Waafrika, #uhamiaji, #uvamizi, #Mfecane, #ukoloni, #maendeleo, #ubepari, #ubeberu, #siasa, #ujenziwamataifa, #kujikomboakitaifa, #Uhuru, #jamiizaKiafrikaKiasiliChapa ya Tatu
-
https://archive.org/details/mapambano
Historia ya Mapambano ya Mwafrika by H. Mapunda; D.N. Mwakawago
Topics
#historia, #Afrika, #Waafrika, #uhamiaji, #uvamizi, #Mfecane, #ukoloni, #maendeleo, #ubepari, #ubeberu, #siasa, #ujenziwamataifa, #kujikomboakitaifa, #Uhuru, #jamiizaKiafrikaKiasiliChapa ya Tatu