home.social

#ukoloni — Public Fediverse posts

Live and recent posts from across the Fediverse tagged #ukoloni, aggregated by home.social.

  1. archive.org/details/biashara-y

    Biashara ya Utumwa katika Afrika ya Magharibi by Walter Rodney

    Topics
    #Kiswahili, #ukoloni, #ubepari, #ubeberu, #biasharayautumwa, #historia, #AfrikayaMagharibi, #utumwa

    "Katika kijitabu hiki, mwandishi anaeleza kwa ustadi mkubwa, na kwa namna ambayo hajiapata kuelezwa kwa Kiswahili, jinsi Wazungu walivyoivamia Afrika na kuwatia Waafrika utumwani, kwa nini kufanya hivyo, hila walizozitumia, jinsi walivyozichafua mila na desturi za Waafrika na kuwasaliti wao kwa wao."

  2. archive.org/details/wanawake-w

    Wanawake wa TANU. Jinsia na Utamaduni katika Kujenga Uzalendo Tanganyika: 1955-1965 by Susan Geiger; Elieshi Lema

    Topics
    #TANU, #wanawake, #Tanganyika, #Tanzania, #historiayaTanzania, #mapambano, #uzalendo, #ukoloni

    "Wananchi wa Tanganyika walijipatia uhuru wao kutoka kwa Waingereza mwaka 1961 kupitia mapambano yaliyoongwozwa na jumuiya yenye nguvu chini ya uratibu wa chama cha TANU. Wanawake wazalendo walikuwa ni viongozi mashuhuri katika medani zote kwenye ngazi mbalimbali."

  3. archive.org/details/njia-panda

    Njia Panda by Ngũgĩ wa Thiong'o; John Ndeti Somba

    Topics
    #Kiswahili, #Kenya, #riwaya, #ukoloni, #ukristo

    "Njia panda ni tafsiri ya Kiswahili ya The River Between, kilichoandikwa na mwandishi maarufu Mkenya, Ngugi wa Thiong'o."

  4. archive.org/details/kaburi-bil

    Kaburi Bila Msalaba: Hadithi Ya Vita Vya Mau Mau by P. M. Kareithi; Terry Hirst

    Topics
    #MauMau, #Kenya, #historia, #Kiswahili, #ukoloni, #milkiyauingereza, #milkiyabritania, #vita, #kujikomboakitaifa, #mapambano, #hadithi

    "Kila msomaji amalizae kusoma hadithi hii hataacha kujiuliza nafsi yake kama anatimiza wajibu wake katika ujenzi wa taifa hili."

  5. archive.org/details/viumbe-wal

    Viumbe Waliolaaniwa by Franz Fanon; Frantz Fanon; Gabriel Ruhumbika; Clement Maganga; Jean-Paul Sartre; Kiswahili

    Topics
    #ukoloni, #kujikomboakitaifa, #mwamkowakitaifa, #vita, #mapinduzi, #elimunafsia, #saikolojia, #mataifa, #mapambano, #ubaguziwarangi, #ujenziwamataifa

    Yaliyomo

    Dibaji ya Jean-Paul Sartre
    1. Kuhusu utumiaji nguvu
    2. Mwamko wa dharura: Fahari yake na hasara zake
    3. Matatizo ya mwamko wa kitaifa
    4. Kuhusu utamaduni wa kitaifa
    5. Vita vya kikoloni na mogonjwa ya ubongo
    6. Neno la mwisho
    Vielelezo

  6. archive.org/details/harakati-y

    Harakati ya Kitabaka Katika Afrika by Kwame Nkrumah; M.W.K. Chiume

    Topics
    #Afrika, #ukoloni, #usoshalisti, #ujamaa, #harakatizakitabaka, #mapambanoyakitabaka, #ukolonimamboleo, #ubepari, #ubeberu, #tabaka, #rangi, #ubaguziwarangi, #Kiswahili

    "Harakati ya Kitabaka Katika Afrika ni tafsiri ya kitabu kiitwacho Class Struggle in Africa, kilichoandikwa na hayati Kwame Nkrumah. Katika kitabu hiki anaonyesha kwa ufasaha kuwa pamoja na ukoloni, historia ya Afrika ni historia ya mapambano kati ya yanyonyaji na wanaonyonywa. Ameonyesha pia kuwa ushindi wa siasa ya uhuru na ujamaa utapatikana kutokana na ushindi wa tabaka la wafanyakazi ina wakulima dhidi ya tabaka la wonyonyaji wa ndani na wa nje ya Afrika"

  7. archive.org/details/harakati-y

    Harakati ya Kitabaka Katika Afrika by Kwame Nkrumah; M.W.K. Chiume

    Topics
    #Afrika, #ukoloni, #usoshalisti, #ujamaa, #harakatizakitabaka, #mapambanoyakitabaka, #ukolonimamboleo, #ubepari, #ubeberu, #tabaka, #rangi, #ubaguziwarangi, #Kiswahili

    "Harakati ya Kitabaka Katika Afrika ni tafsiri ya kitabu kiitwacho Class Struggle in Africa, kilichoandikwa na hayati Kwame Nkrumah. Katika kitabu hiki anaonyesha kwa ufasaha kuwa pamoja na ukoloni, historia ya Afrika ni historia ya mapambano kati ya yanyonyaji na wanaonyonywa. Ameonyesha pia kuwa ushindi wa siasa ya uhuru na ujamaa utapatikana kutokana na ushindi wa tabaka la wafanyakazi ina wakulima dhidi ya tabaka la wonyonyaji wa ndani na wa nje ya Afrika"

  8. archive.org/details/harakati-y

    Harakati ya Kitabaka Katika Afrika by Kwame Nkrumah; M.W.K. Chiume

    Topics
    #Afrika, #ukoloni, #usoshalisti, #ujamaa, #harakatizakitabaka, #mapambanoyakitabaka, #ukolonimamboleo, #ubepari, #ubeberu, #tabaka, #rangi, #ubaguziwarangi, #Kiswahili

    "Harakati ya Kitabaka Katika Afrika ni tafsiri ya kitabu kiitwacho Class Struggle in Africa, kilichoandikwa na hayati Kwame Nkrumah. Katika kitabu hiki anaonyesha kwa ufasaha kuwa pamoja na ukoloni, historia ya Afrika ni historia ya mapambano kati ya yanyonyaji na wanaonyonywa. Ameonyesha pia kuwa ushindi wa siasa ya uhuru na ujamaa utapatikana kutokana na ushindi wa tabaka la wafanyakazi ina wakulima dhidi ya tabaka la wonyonyaji wa ndani na wa nje ya Afrika"

  9. archive.org/details/harakati-y

    Harakati ya Kitabaka Katika Afrika by Kwame Nkrumah; M.W.K. Chiume

    Topics
    #Afrika, #ukoloni, #usoshalisti, #ujamaa, #harakatizakitabaka, #mapambanoyakitabaka, #ukolonimamboleo, #ubepari, #ubeberu, #tabaka, #rangi, #ubaguziwarangi, #Kiswahili

    "Harakati ya Kitabaka Katika Afrika ni tafsiri ya kitabu kiitwacho Class Struggle in Africa, kilichoandikwa na hayati Kwame Nkrumah. Katika kitabu hiki anaonyesha kwa ufasaha kuwa pamoja na ukoloni, historia ya Afrika ni historia ya mapambano kati ya yanyonyaji na wanaonyonywa. Ameonyesha pia kuwa ushindi wa siasa ya uhuru na ujamaa utapatikana kutokana na ushindi wa tabaka la wafanyakazi ina wakulima dhidi ya tabaka la wonyonyaji wa ndani na wa nje ya Afrika"

  10. archive.org/details/harakati-y

    Harakati ya Kitabaka Katika Afrika by Kwame Nkrumah; M.W.K. Chiume

    Topics
    #Afrika, #ukoloni, #usoshalisti, #ujamaa, #harakatizakitabaka, #mapambanoyakitabaka, #ukolonimamboleo, #ubepari, #ubeberu, #tabaka, #rangi, #ubaguziwarangi, #Kiswahili

    "Harakati ya Kitabaka Katika Afrika ni tafsiri ya kitabu kiitwacho Class Struggle in Africa, kilichoandikwa na hayati Kwame Nkrumah. Katika kitabu hiki anaonyesha kwa ufasaha kuwa pamoja na ukoloni, historia ya Afrika ni historia ya mapambano kati ya yanyonyaji na wanaonyonywa. Ameonyesha pia kuwa ushindi wa siasa ya uhuru na ujamaa utapatikana kutokana na ushindi wa tabaka la wafanyakazi ina wakulima dhidi ya tabaka la wonyonyaji wa ndani na wa nje ya Afrika"

  11. archive.org/details/mzalendo-k

    Mzalendo Kimathi by Mîcere Gîthae Mũgo; Ngũgĩ wa Thiong'o; Raphael Kahaso

    Topics
    #DedanKimathi, #MauMau, #Kenya, #Milkiyauingereza, #Milkiyabritania, #ukoloni, #tamthilia, #tamthiliya, #kujikomboakitaifa, #vita, #historia, #historiayaKenya, #Kiswahili

    "Yamesemwa na kuandikwa mengi juu ya kiini cha mapambano ya Mau Mau na vikosi vya Wakoloni Waingereza. Lakini je, kiini hiki kimezungumiziwa vya kutosha katika fasihi ya Kenya? Ni kwa nini fasihi hii imewadunisha wazalendo na kuwafanya wasioweza kuiunda historia yao? Kwa nini waimbaji wetu Kenya hawajapata kuimba nyimbo za kuwasifu mashujaa kama Dedan Kimathi na ujasiri wao? Historia na matendo waliyoyaandika wanahistoria na waandishi wengine ni vya nani?"